MATUKIO KATIKA PICHA: ANGALIA MASHABIKI WALIOJITOKEZA KATIKA FAINALI ZA INTER-CLASSES IJA!!
WADAU WA FOOTBALL NAO WALIKUWEPO KUSUPPORT MICHEZO MINGINE.
KUTOKA KUSHOTO: Mr. G. Barnoba, Mlezi wa Wanachuo, Chuo Cha Uongozi wa Mahakama- Lushoto, akifuatilia kwa Makini Fainali za Inter- Classes Competition Katika Viwanja vya Basketball - IJA, Anayemfuata ni Mwanachuo wa DL 1 Wakiwa pamoja na Mh. GOODLUCK KIMAMBO, Waziri Mkuu - IJASO!!
No comments:
Post a Comment